PanAfrican Energy inajivunia gesi asilia ya Songo Songo na inafanya kazi kwa kushirikiana na makampuni ya Tanzania katika kuendeleza rasilimali za nishati Tanzania.. Wafanyakazi wetu wa Tanzania wanatumia ujuzi na uzoefu walionao kuongeza upatikani wa gesi asilia kama nishati safi ya kuzalisha umeme, kutumika viwandani na kukidhi mahitaji ya Biashara na Usafiri Dar es Salaam.
Kama angependa kufanya majadiliano na sisi katika lugha ya Kiswahili juu ya kampuni yetu na shughuli zake tafadhali wasiliana na ofisi zetu za Dar es Salaam na omba kuzungumza na wafanyakazi wetu katika lugha ya Kiswahili.
Simu: +255 22 2138737

